Videos
Mtangazaji wa E-FM ‘Fido’ ameachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Cheza’ itazame hapa
Kwa watu ambao huwa wanasikiliza kipindi cha Genge cha E-FM au kipindi cha ‘Funga Mtaa’ kinachoruka kila Jumamosi kupitia kituo hicho cha Radio utakuwa unamfahamu ‘Fido’. Sasa hapa anakualika kutazama video ya wimbo wake mpya wa aina ya Singeli unaoitwa ‘CHEZA’. Video imeongozwa na Director Eddy itazame hapa chini.
https://youtu.be/1z__Si7n2pU