Habari
Muammar Gaddafi auwa
Kiongozi wa zamani nchini Libra Muammar Gaddafi ametangwazwa rasmi kuuwa leo asubuhi katika mashambulio yaliyofanywa na waasi katika mji wa Sirte.
Waziri wa Habari Mahmoud Shammam, amesema kwamba wapiganaji waliona mwili wa kamanda huyo ukiwa pamoja na maofisa wengine.
Hii baada ya kutangazwa kwamba uhuru wa nchi hiyo hauwezi kuwa sawa wala kukamilika, bila ya kiongozi huyo kupatikana akiwa hai au amekufa, ili kwenda kujibu mashitaka kwenye mahakama ya Kimataifa.
Mwili wa Maumar Gadafi uliopatikana