Burudani
Muda wowote kuanzia sasa AY na Fid Q wanaachia ‘Microphone’ (+video)
Muda wowote kuanzia sasa marapper wawili wenye nguvu zaidi kwenye kiwanda cha muziki wa Hip Hop nchini Tanzania, AY na Fid Q wanaachia project yao mpya ya Microphone.
AY amethibitisha hilo baada ya kuachia kionjo (Teaser) ya wimbo huo kupitia ukurasa wake wa Instagram, unaweza ukatazama kicho hicho hapa chini.
https://www.instagram.com/p/Bk__5Xog1jG/?taken-by=aytanzania
Mdundo wa ngoma hii umegongwa pale B-Hits na video imeongozwa na Destro kutoka Wanene Entertainment Films.