Muziki
Music: Khadija Kopa, Ray C, Linah, Nandy, Mwasiti & Maua Sama – Malkia wa Nguvu
Kuelekea siku ya Wanamke Duniani baadhi ya wasanii wakike hapa nchini Tanzania, wameungana na kutengeneza huu wimbo umbao umepewa jina la “Malkia wa Nguvu”, huu wimbo umeandikwa na wasanii Ditto na Amini, Producer Ema the Boy.