Michezo
Mwakinyo amshushia kipigo Mcongo, abeba mkanda wa ubingwa WBF (+Video)
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo hapo jana usiku wamefanikiwa kubeba mkanda wa Ubingwa wa WBF Intercontinental Super Welter Champion baada ya kufanikiwa kumpiga mpinzani wake raia wa Congo Tshibangu mchezo wa raundi 12.