Michezo
Mwakinyo: Nilitamani niongezewe mabondia 3 baada ya kumtwanga Muajentina (Video)
Bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefunguka mambo mengi muda mchache baada ya kutoka Ikulu kupongezwa na Rais Magufuli baada ya kufanya vizuri kwenye pambano lake na Muajentina lililofanyika huko nchini Kenya weekend hii.