Michezo

Mwalimu Kashasha achambua ubingwa wa Mtibwa Sugar dhidi ya Simba SC, maamuzi ya Mo Dewji (+Audio)

Mchambuzi wa soka maarufu nchini, Mwalimu Kashasha amechambua Ubingwa waliyopata klabu ya Mtibwa Sugar dhidi ya Simba SC michuano ya kombe la Mapinduzi huku akugusia maamuzi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mohammed Dewji kutangaza kujiuzulu kabla ya kuja kurekebisha kauli hiyo asubuhi ya leo.

 

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents