BurudaniUncategorized
Mwalimu wa sanaa wa Mzee Majuto afunguka: Vituko vyote nimemfunza mimi baada ya kuniomba! (Video)
Mzee Kasongo ambaye ni mwalimu wa marehemu Mzee Majuto katika sanaa amefunguka kuzungumza kwanini aliamua kumfunza masuala ya kuigiza. “Mimi nilivipenda sana vituko vyake, alikuwa anabeba paka”
Taratibu mzee maana bongo yetu imetawaliwa na kiki hii
MMM! Mzee majuto alikuwa mbunifu tu na hakuna cha kumfundisha hapa. Mbona tulikuwa hatujui ! Au ni mpaka…. Siamini
Jana si umesema ni mjomba?mbona Hy hukuyasema😁😁
Mpaka mtu a dedi ndo mjitokeze???hakuna cha kurithi hapa
Mbona hukusema akiwa bado hajafa😎
Kwahyo tukusaidiej mzee babbu?
😀😀😧 bongo bhana
Kwa hiyo unaibuka hivi sasa kwa kuwa mhusika hayipo si ndivyo? Ulikuwa wapi siku zote hizo kutamka wakati akiwa hai? Kama kiki imekula kwako mazima!
Kile kipaji tu
Vituko vinafundishwa wap
hv kuna mwanae alyerithi #uchekeshaji? mbona hakumfundisha mwanae wa kumzaa hvyo v2ko kama ni rahisi na vnafundishwa uje umfundishe ww #king huyuX3 tunaemjua cc
Huyo babu tupo nae huku kitaa ni fundi sana
Si kwel, uchekeshaj wa kiwango cha majuto s wa darasani, kile kipaji tu cha kuzaliwa
Kuna mwanae mmoja ndio anajaribu kuigiza lakini hana vituko vingi kama Mzee…!!
Bongo bhana, mtu wa kusema baadae ni #Mai wa anko Zumo ndo anafundishwa bhana, king Majuto ni kipaji tu alichojaaliwa na Mungu
Huyu nimuongo Mzee majuto alianza kuchekesha mashuleni miaka hiyo ile nikipaji kutoka kwa mungu
Duuuh we babu we we miaka yote hiyo ndo ujitokeze leo
Haya hongera,,, wafundishe na wanao na wengine mana vizazi bado vipo vinazaliana,, havijaishia kwa majuto
Washaanza kujitokeza bado wakusema kua alimjengea nyumb
Mmh mzee naona wamekukataa wa Tz
VITUKO ANAFUNDISHWA MTU
Can’t be seriously mwalimu
Tanzania usishangae mtu Anasema ata kupiga chafya kakufundisha yeye.
Mwalimu muongo
Media za bongo bhna
Alianza kuchekesha na miaka 9, uyo mwalim muongo anatafuta sifa tu.
Mwaka upi mbona mnazua zua
No need to say that ryt now
Basijamani heshima itawale huyu babu ni mzazi wetu
Pumbafu
Mnakuwa wengi nyie waalimu wa marehemu
Alikuwaga wapi siku zote mbona hatumjui hata
aaaaah uwataka kiki uyu mzee
aaaaah uwataka kiki uyu mzee
Mmeanza!!!
Muongo huyo kile nikipaji alipewa na mungu na ndomana hakuna kama yy labda alo zaliwa wakat na yy anaondoka dunia anaweza akawa kama yy
Mh! Aendeleze sasa yeye tuone kama tutacheka!!!
Ucheshi haufundish……akae mbali na kiki za marehem