Michezo

Mwamuzi wa pambano la Mayweather na Manny Pacquiao kulipwa $10,000

Mwamuzi wa pambano la masumbwi linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquio ataambuliwa malipo ya dola 10,000 (zaidi ya shilingi milioni 18).

2158ABF100000578-0-Kenny_Bayless_refereeing_Floyd_Mayweather_s_fight_against_Marcos-a-106_1428886076230

Pambano hilo litapigwa kwenye ulingo wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani, May 2 na linatarajiwa kuingiza dola milioni 400 ambapo Manny atalipwa dola milioni 100 na Mayweather takriban dola milioni 150!

Kwa mujibu wa Telegraph, ni kati ya Kenny Bayless na Tony Weeks ndio anaweza kuwa mwamuzi.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents