Michezo

Mwamuzi wa Tanzania, Jonesia Rukyaa kuchezesha michuano ya Algarve Cup Ureno

Shirikisho la soka Tanzania (TFF), limesema kuwa mwamuzi wa kike nchini mwenye beji ya Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mchezo wa michuano ya Algarve kwa mwaka huu nchini Ureno zitakazo anaza Februari 28.

“Mwamuzi wa kike kutoka Tanzania mwenye beji ya FIFA Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuchezesha mechi za Algarve Cup 2018 nchini Ureno zitakazoanza Feb 28 hadi Machi 07, 2018.”

Michuano hiyo yaAlgarve ni michuano inayoshirikisha timu za wanawake ambayo itaanza kutimua vumbi mwezi huu wa Februari na kumalizika Machi 7 mwaka huu.

Jumla ya timu 12 zimealikwa katika michuano hii ambapo zitagawanyika katika makundi matatu wakati mataifa ya takayoshiriki ni.

 

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents