Siasa

Mwanamke azaa mapacha na kuwaita Barack Obama na Mitt Romney

Owuor akiwa na wanae Obama na Romney

Mwanamke mwenye miaka 20 Millicent Owuor jana amejifungua watoto mapacha na kuwapa majina Barack Obama na Mitt Romney.

Watoto hao walizaliwa katika hospitali ya Siaya kusini magharibi mwa Kenya.

Owuor aliwaambia waandishi wa habari kuwa aliamua kuwapa majina hayo wanae ili kuikumbuka siku ya uchaguzi huo wa Marekani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents