Michezo
Mwina Kaduguda – Yanga wanabaki kwenye Ukongwe, sisi tunaenda kwenye Ukubwa wa Afrika (+Video)
Kaimu Mwenyekiti wa Mabingwa wa Nchi, Mwina Kaduguda amesema sababu za Mnyama kutoka sare hii leo kwenye sherehe zao za Ubingwa ni kutokana na wachezaji wamemwambia kuwa wanauhitaji zaidi ushindi mbele ya hasimu wao Yanga.