Habari

Mwinyi: Nimevaa viatu mara mbili, kwanza Jandoni ya pili nilikuwa na miaka 13 nilichuma karafuu nikanunua (+Video)

“Mimi nimevaa viatu mara mbili, mara kwanza nilipoenda Jandoni, mara ya pili nina miaka 13 nilichuma Karafuu nikapa hela nikanunua viatu, nikahakikisha viatu hivyo havitakwisha, baada ya kuvivaa nikavitunza” – Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi.

https://www.youtube.com/watch?v=mXYV6_FHJh0

https://www.youtube.com/watch?v=RMF6P4Q19tE

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents