Habari
Mwinyi: Nimevaa viatu mara mbili, kwanza Jandoni ya pili nilikuwa na miaka 13 nilichuma karafuu nikanunua (+Video)
“Mimi nimevaa viatu mara mbili, mara kwanza nilipoenda Jandoni, mara ya pili nina miaka 13 nilichuma Karafuu nikapa hela nikanunua viatu, nikahakikisha viatu hivyo havitakwisha, baada ya kuvivaa nikavitunza” – Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi.
https://www.youtube.com/watch?v=mXYV6_FHJh0
https://www.youtube.com/watch?v=RMF6P4Q19tE