Bongo Movie
Myamba aja na jipya
Mwigizaji wa filamu nchini Emmanuel Myamba, anajiandaa na filamu yake mpya ambayo bado hajaipatia jina, mwingizaji huyo amesema kwenye filamu hiyo kutakuwa na wasanii wengi wakiwemo Underground ilikuinua vipaji vipya.
Hapa akiwa na Director wa filamu hiyo akimtolea maelezo
Sugget
Thea akisoma Script yake kabla ya kuanza kuingia kwenye shooting
Hapa Kidogo Pastor Myamba alisahau mistari ikambidi aulize
Kweli Movie za kibongo zimeendelea Camera mbilimbili