Mahojiano

Mzazi Willy: “Alikiba anapendwa sana Kenya, Ubunifu katika Kaka Tuchat ya Roma na Stamina sawa na Nitarejea ya Diamond” – Video

Mtangazaji wa Radio Citizen kutoka nchini Kenya 🇰🇪 na mkali wa kipindi  cha #MamboMseto @mzaziwillytuva ameisifia sana ngoma ya @staminashorwebwenzi na @roma_zimbabwe #Kakatuchat akisifia sana ubunifu kwenye hiyo ngoma ukilonganisha na gharama waliyotumia.

Mbali na hilo @mzaziwillytuva amelimiminia sifa kundi la muziki kutoka Kenya @sautisol kwa kusema kuwa vijana wengi na wasanii wanatakiwa kujifunza kupitia kwao kutokana na aina ya muziki wanaofanya na hata jinsi wanavyoishi. Pia ameutaja wimbo wa @diamondplatnumz #Nitarejea kama wimbo bora kwake kutokana na ubunifu wake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents