Michezo
Mzee Muchacho adai Bocco ameshuka, akubali mziki wa Fei Toto (+Video)
Mzee Muchacho ambaye ni shabiki mkubwa wa mchezo wa soka nchini ametoa maoni yake mara baada ya kuishuhudia timu taifa ya Tanzania ikitoka sare ya goli 1 – 1 dhidi ya Tunisia mchezo uliyopigwa katika uwanja wa Mkapa.