Mzee wa miaka 70 afunga smartphone 11 kwenye baiskeli ili kucheza game (+picha)
Mzee wa miaka 70 nchini Taiwan anayefahamika kwa jina la Chen San-yuan amefunga jumla ya simu 11 kwenye baiskeli yake ili aweze kucheza game kila anapokwenda.
San-yuan ambaye ni mkazi wa New Taipei hutumia saa 20 kucheza michezo ya Pokemon kabla ya simu na betri zake tisa hajaziweka kwenye baiskeli kuanza safari ya kutembea nazo.
Wakati, Feng Shui akisema kuwa hutumia kiasi cha pauni 1,165 kwaajili ya kulipia game hilo. Chen kwa sasa amepewa jina la utani akiitwa ‘Uncle Pokemon’.
Kwaupande wake amesema kuwa kucheza gemu kunamsaidia kusahau maradhi aliyokuwa nayo ya Alzheimer ambayo humsumbua lakini pia humuunganisha nawatu wengine wenye umri kama wake. Chen ametekwa na Pokemon baada ya kufundishwa na mjukuu wake namna ya kucheza gemu hilo mwaka 2016 .
Naskia bangi moshi wake kutoka unachukuwa miaka 100 😂😂 Sharifu Moka Mohammed Haroun
Kwa hali hii sina shaka ilo Waheed Muhene Said 🤣🤣
Utajijua ww mtt wa taifa urusi Waheed Muhene Said
Sharifu Moka mwamba tusameheane basi
Ww nd una shida kk
Huko hao vibaka wako likizo ama wakwenda break mpk jioni ?
Huenda anachezea code kwenye cm sio magem
Angekua uku kwetu bongo smartphone zake angezifunga chumbani kwake maana uku wangeiba adi baiskel yenyew
Angekuwa huku kwetu Tz mngesema bange ila kwakuwa yupo kwa wenzetu watanzania mnasema ni ubunifu 😂😂