Burudani
Mzee Yusuph akumbuka enzi zake
Mfalme wa taarabu, Mzee Yusuph ameamua kukumbuka enzi zake kwa kukikamatia mwenyewe kinandaa baada ya kuona anatatizwa na mguu katika steji ya uimbaji, Mkali huyo wa taarabu, zaidi ya kuimba pia anaweza kukimudu vizuriiii’ kile kinanda kana kwamba ndiyo kazi yake.
Lakini ukimrudisha kwenye kuimba ama kutunga ndipo ustadi wake ulipo lakini ndiyo hivyo vyote anaviweza kuvifanya kwa wakati mmoja, na hapa akiwa Mango Garden akiwapa buludani.
Mzee Yusuph akiwa hana habari, yeye na kinanda ‘tu’
Mwimbaji wa Jahazi akijaribu kuziba mapendo ya mzee Yusuph
Waimbaji wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kutoa ushirikiano wa kuimba kwa pamoja katika bendi ya Jahazi Mordn Taarab
Hapo sasa, gitaa ikilalamika kutokana na nyuzi zake kuvutwa