Mzungu Kichaa kuendesha semina ya siku mbili kwa wasanii wachanga jijini Nairobi

Mwanamuziki raia wa Denmark mwenye makazi yake nchini Tanzania, Espen Sørensen aka Mzungu Kichaa leo anatarajia kuanza semina ya siku mbili kwa wasanii wachanga jijini Nairobi Kenya.

Semina hiyo itafanyika katika ofisi za Sarakasi Trust.

“The workshop will be steps to success through management, marketing and identity,” yamesema maelezo yake.

Pia Mzungu Kichaa atafanya concert ya bure katika bweni la Sarakasi Ijumaa hii.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents