Habari
Nafasi 3,152 za ajira zatangazwa Wizara ya afya
Wizara ya Afya, Maendeleo, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza nafasi za kazi 3,152 kwa wahitimu mbalimbali wa kada za afya hapa nchini.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo
Wizara ya Afya, Maendeleo, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza nafasi za kazi 3,152 kwa wahitimu mbalimbali wa kada za afya hapa nchini.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo