Michezo

Nahodha wa zamani wa Simba SC amwaga wino Mtibwa Sugar

Nahodha wa zamani wa klabu ya Simba aliyekuwa anakipiga kwa mkopo African Lyon, Hassan Isihaka amejiunga na klabu ya Mtibwa Sugar kwa mkataba wa miaka miwili.

Hassan Isihaka

Hassan Isihaka alipelekwa kwa mkopo na Simba SC kunako klabu ya African Lyon baada ya kukosa namba ya kudumu klabuni hapo na anakuwa mchezaji wa tano kusainiwa na timu hiyo kwa msimu huu.

“Hassan Isihaka amejiunga na klabu ya Mtibwa Sugar akitokea Simba Sports, msimu 2016/2017 alikuwa African Lyon kwa mkopo na msimu huu amejiunga na wana tam tam baada ya kumsajili moja kwa moja akitokea Simba Sc”,Imeeleza taarifa kutoka kwenye mtandao wa klabu ya Mtibwa Sugar.

By Godfrey Mgallah

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents