Burudani

Nahreel adai hakuwahi kuondoka na beats za Pah One

Producer na msanii wa kundi la Navy Kenzo, Nahreel amedai kuwa hajawahi kuondoka na beats za kundi la Pah One alilokuwa mwanzo kama wanavyodai wasanii waliosalia.

Nahreel

Nahreel ameiambia 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa aliondoka na vitu vyake tu ikiwemo beats ambazo alitengeneza mwenyewe kabla hawajaanzisha kundi ikiwepo beat ya wimbo wa Mwana FA, MfaMle na Pea ambayo alimpa Nick wa Pili.

“Beats zote hizo nilikuwa nazo muda tu niliwaambia kuhusu beats hizo,” alisema.

Katika hatua nyingine Nahreel alisema hakuna mpango wowote wa Navy Kenzo kufanya collabo na Pah One.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents