Bongo Movie
Nakupenda Monalisa
Mwigizaji wa filamu nchini Jacob Steven ‘Jb’, akiwa katika maandalizi ya filamu mpya ya Nakupenda Monalisa, ambayo ipo chini ya kampuni ya Jerusalem.
Katika filamu hiyo J B amewashirikisha wasanii mbalimbali ikiwemo wakongwe na wasasa hivi, akiwemo Walda Walad mwanadada anayekuja kwa kasi katika tasinia ya filamu.