Nani alipendeza zaidi kwenye red carpet ya MTV MAMA? (Picha)
Vilikuwa ni vita vya fashion kati ya mastaa wa Marekani na Afrika waliokutana kwenye red carpet ya tuzo za MTV MAMA, Jumamosi iliyopita. Lakini ni nani alipendeza zaidi?
Mshindi wa tuzo ya Best Live Act, Diamond Platnumz
Vanessa Mdee alikuwa akiwania tuzo ya Best Female Act iliyoenda kwa msanii wa Nigeria, Yemi Alade
Msanii wa Afrika Kusini, Bucie
Muimbaji wa Marekani na mmoja wa wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo, Jhene Aiko
Mshindi wa tuzo ya Best Female Act, Yemi Alade
Mshindi wa tuzo ya Best Male Act, Davido
Wasanii wa kundi la P-Square, Peter and Paul Okoye
Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest
Host wa tuzo hizo, mchekeshaji wa Marekani, Anthony Anderson
Mrembo wa Afrika Kusini, Boity Thulo
Cassper Nyovest na Boity
Msanii wa Uganda, Bebe Cool
Rapper wa Afrika Kusini, AKA
Msanii wa Nigeria, Patoranking
Rapper wa Nigeria, Phyno
Mtangazaji wa MTV Base, Nomuzi
Muimbaji wa R&B wa Marekani, Ne-Yo
2 Face
Rapper wa SA, KO
Kundi la Kenya, Sauti Sol
Msanii wa Ghana, Stone Bway
Rapper wa SA, Khuli Chana
Rapper wa SA, Ricky Rick
Mrembo wa SA, Pearl Thusi
Rapper wa SA, Da Les
Msanii wa Nigeria, Seyi Shay
Mkurugenzi wa Viacom International Media Networks Africa,Alex Okosi
Msanii wa Nigeria, Flavour
Picha: MTV Base