Burudani

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

 

Usiku wa leo atapatikana mshindi wa shindano la Bongo Star Search, fainali hiyo itafanyika katika ukumbi wa Mlimani City na mshindi atajinyakulia milioni 30 za kibongo, washiriki waliyoweza kuingia katika fainali ni Waziri Salum, Joseph Payne, James Martin, Mariam Mohamed na Bella Kombo.

Washiriki hao watasindikizwa na wakali wa Bongo Flava wakiwemo Ali Kiba, Diamond na Joh Makini.

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Washiriki wanaogombania mil 30 kutoka Bongo Star Search wakifanya mazoezi ya mwisho mwisho

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Waziri Salum

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Joseph Payne

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

James Martin

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Mariam Mohamed

Nani ataibuka mshindi wa BSS?

Bella Kombo

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents