Nani Zaidi?
Pamoja na kuwa ma-MC wakali hapa Bongo Mwana FA na AY ni marafiki wa karibu na wametoka mbali sana, sasa tunataka wadau wetu mtuambie nani mkali zaidi katika ku-RAP kati ya Mwana FA na AY?
Wote wawili wana nyimbo kali, na pia wameshirikiana katika nyimbo mbali mbali ambazo zimefanya vizuri sana.
Kazi kwenu wadau!