Burudani
Nash Mc, amalizia Video yake
Mwanamuziki wa Bongo fleva Mutalemwa Jason ‘Nash Mc’, hivi kaaribu alikuwa akimalizia video ya wimbo wake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Nimeizindua mitaa’ Alisema katika wimbo huo amemshirikidsha, One na Sterio ambao kwa pamoja wameshirikiana na kuufanya kuwa wimbo wa aina yake.
Prudyuza aliyetengeneza wimbo huo ni Ibra wa Face’s Picture Production. Nash Mc, amesema wimbo huo utakuwa miongoni mwa nyimbo zake atakazo zitoa, katika albamu atakayoitoa hivi karibu.
Nash Mc akitengeza Radio kwaajiri ya kuanza kazi, ya kurekodi wimbo wake wa ‘Tunaizindua Mitaa’ kwenye video