Burudani
“Nataka kufanya colabo na Alikiba Diamond na Rayvanny, Samatta alinialika Genk nikatangaze utalii lugha ilikuwa tatizo” – Moran (+ Video
"Nataka kufanya colabo na Alikiba Diamond na Rayvanny, Samatta alinialika Genk nikatangaze utalii lugha ilikuwa tatizo" - Moran (+ Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayefanyia kazi zake nchini Marekani @morani_tz amefunguka mengi sana kuhusu mwenendo wa muziki wake na dhumuni la kuamua kujiingiza kwenye tasnia ya Bongo Fleva.
Akiongea na waandishi wa habari @morani_Tz ameeleza kuwa lengo lake ni kufanya muziki wa Intenational na ndio mana yuko kwenye mazungumzo na AKON ili watoe ngoma. @morani_tz pia amewashauri wasanii wenzake kuacha kuiga sana muziki wa Nigeria na kama watashindwa sana basi waige hata muziki wa Marekani. Mbali na hilo @morani_Tz ameamua kuachia video ya ngoma yake mpya NAKUULIZA aliyoifanyia MJ Record kwa @marcochali
Kama bado hujaiangalia Interview yetu na Dogo Janja hakikisha unaitazama hapa chini.
By Ally Juma.