Burudani

Natamani ningezaa hata watoto 10 – Faiza Ally

Msanii wa Filamu Bongo, Faiza Ally amesema katika maisha yake angetamani kuzaa hata watoto 10 lakini haiwekani.
Faiza ametaja sababu ya kutowezekana ni kutokana na gharama za maisha kuwa juu na kueleza watoto wake wawili alionao wanamtosha.

“Sina mpango wa kuwa na mtoto mwingine kwa sababu wawili wananitosha, I don’t need more because life is too expensive, so sitaki kuleta mtoto aje kupata shida lakini natamani ningezaa hata 10” Faiza ameiambia Bongo5.

Faiza ana watoto wawili, Sasha na Li Junior.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents