Burudani

Nay afunguka mazito kupitia project yake ya KaziNiKaziChallange ‘Mama yangu ni mama ntilie’ (+video)

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nay wa Mitego ameamua kuanzisha ‘project’ inayoitwa Kazi ni Kazi yenye lengo la kuwasaidia wajasiria mali wadogo ili waweze kujikwamua kiuchumi huku akitoa sababu ya kuipa jina hilo ambalo linaendana na wimbo wake mpya na kudai kuwa mama yake alipitia kwenye biashara ya mama ntilie hali iliyompelekea kuuchagua.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents