Habari
Ndege mpya ya Airbus A220-300 yatua Tanzania, viongozi wa dini wamshushia maombi Rais Magufuli (+video)
Tazama Ndege mpya ya Airbus A220-300 ilivyotua Tanzania leo jioni Ijumaa Januari 11, 2019, huku viongozi wa dini wakishusha maombi kwa Rais Magufuli.