Michezo

Ndoa ya Rooney mashakani kisa pombe, mkewe atimka Marekani kuepuka aibu

Aliyekuwa mchezaji wa Manchester United, Wayne Rooney amelazimika kuacha kabisa kunywa pombe ili kuokoa ndoa yake na mkewe Coleen ambaye amezaa nae watoto wa nne.

Image result for Rooney drunk alcohol a lot

The Sun imeripoti kuwa Rooney amekuwa akiishi Marekani na familia yake tangu mwaka uliopita, lakini tayari mkewe ameondoka huko na kurudi Uingereza kutokana na vituko vya ulevi vinavyoendelea.

 Coleen Rooney is not giving up booze, unlike her husband

Wakati uhusiano wake na mkewe umekuwa wa mashaka kutokana na matukio mbali mbali ya ulevi wa Rooney. Mapema mwaka huu alikamatwa na polisi kwa kulewa kupita kiasi akiwa uwanja wa ndege Marekani.

 It comes after the former England captain decided to cut short his stint in the US and return to the UK to save his marriage

Kwa mujibu wa jarida la Mirror, Rooney anatarajiwa kurudi Uingereza mwezi Oktoba na yupo tayari kujiunga na Derby ya nchini humo ili kutumia fursa ya kuwa karibu na mkewe ambapo pia atakutana na mtu wa ushauri nasaha ili kurejesha amani katika ndoa yake.

 His wife Coleen urged him to get help earlier this year as he was 'drinking a fair amount in the States and it was causing huge problems'

Inasemekana maamuzi ya Rooney kurudi Uingereza yatamgharimu mamilioni ya pesa. Lakini mkewe alitaka Rooney ampe kipaumbele yeye Coleen na watoto.

Hivyo Rooney ameamua kufanyia kazi hilo “si tatizo kupoteza pesa kwani ni thamani zaidi kumfanya Coleen awe na furaha”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents