‘Ndoa Yangu’ ya Kanumba yaibuka filamu iliyouza zaidi kwenye tuzo za Steps Entertainment 2013
Filamu ya mwisho ya marehemu Steven Kanumba, Ndoa Yangu aliyoigiza na Jacqueline Wolper, imeibuka na tuzo ya ‘best selling movie’ kwenye tuzo za kampuni ya Steps Entertainment zilizofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam.
Pamoja na tuzo hizo, marehemu Kanumba aling’ara kwa kupata tuzo nyingi zaidi kuliko waigizaji wote kwa kunyakua tuzo zingine mbili.
Hii ni orodha nzima ya washindi wa tuzo hizo.
1. Best Director : Ray Kigosi (Women Of Principle)
2. Best Actor: Jacob Steven ( Nakwenda Kwa Mwanangu )
3. Best Actress : Irene Paul
4. Best Movie : – Kijiji Cha Tambua Haki
5. Best Selling Movie :- Ndoa Yangu
6. Best Best Story :- Nice Muhammed (Barmed)
Mtunisi akipokea tuzo hii kwa niaba ya wengine walioigiza kwenye filamu hiyo
7. Best Screen Play :- Ally Yakuti
8. Best Cameraman :- Zakayo Magulu
9. Best Sound :- Bharghasi Saidi
10. Best Editor : Timoth Conrady
11. Best Production House: RJ Production Company
12. Best Supporting Actor : Rado (I think I hate my wife )
Rado
13. Best Supporting Actress: Riama Ally ( Tabu Ya kuolewana)
14. Best Producer : John Lister
15. Best Comedian :King Majuto
16. Most Promising Actor : Niva
17. Most Promising Actress : Irene Paul
18. Best Child Artist : Jennifer
Jennifer
19. Best Action Movie :Double J
20. Best Perfomance in a negative role : Mohammed Nurdin -checkbudi (Azma)
21. Special Jury Award : Jennifer Kyaka (odama)
21. Best movie on National Integration:Mwalimu Nyerere
22. Best Movie for the development of culture & Language :Toba
23. Posthumous Awards :- Late:Kanumba, Late:Sajuki , Late:Sharobaro,Late:John
Picha: Bongomovies.com na Steps Entertainment website.