Technology

Netflix sasa inapatikana Afrika nzima

Kampuni maarufu ya kutazama TV, filamu na series mtandaoni, Netflix imeongeza wigo wake kwa kuzifikia nchini 130 sasa zikiwemo zile za chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanzania.

netflix_desktop

Kampuni hiyo ya California sasa imeingia kwenye nchi zote 54 za Afrika. Mteja atalipa dola $7.99 kwa mwezi kuangalia chochote atakacho.

Kama kutakuwepo internet yenye speed ya uhakika Netflix itavutia wateja wengi wa Tanzania.

Netflix pia imekuja kwenye kipindi ambacho gharama za kulipia DSTV yenye channel nyingi zaidi zikiwa zimepanda.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents