Neymar azua gumzo mtandaoni baada ya kushangilia hivi (+Picha)
Neymar amekuwa akiangazwa zaidi toka alipojiunga na matajiri wa Ufaransa klabu ya PSG kwa dau nono la paundi milioni 200 na kwa sasa amekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuonyesha staili yake mpya ushangiliaji.
Baada ya kushinda bao lake hilo kwanjia ya mkwaju wa penati akaweka kiatu chake chenye chata la Nike katika paji la uso wake kitendo ambacho kimetawala katika vichwa vya habari huku watu wengi wakitumiana picha hiyo.
Katika mchezo huo Neymar, Kylian Mbappe na Angel Di Maria wote wametupia mara mbili na kuifanya Paris Saint-Germain kutoka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Rennes katika michuano ya French Cup siku ya Jumapili.
Neymar celebrates his goal with a nice balancing act. pic.twitter.com/qeqxi5k8zt
— Squawka Live (@Squawka_Live) January 10, 2018
Neymar's goal celebration, tonight.
The game's gone. pic.twitter.com/ibfzyKZE2v
— Coral (@Coral) January 10, 2018
https://twitter.com/SkinnySenz_77/status/951204792403152898
PSG defeated Amiens 2-0 to advance to the Coupe de la Ligue semi-finals….
More importantly, Neymar scored and celebrated by balancing a shoe on his head! pic.twitter.com/ksbOa0eKOJ
— GOAL News (@GoalNews) January 10, 2018
Here's Neymar with the most ridiculous celebration of 2018 so far 🤔 pic.twitter.com/6MvErJUyBf
— Eurosport (@eurosport) January 10, 2018