Nguzo zalamimikiwa
Wakazi wa Kurasini Mivinjeni, walalamikia kuwekwa kwa nguzo zinazoshushwa maeneo ya kiwanja cha wazi kilipo maeneo ya Kota za Railway. Wakazi wa eneo hilo wamesema magogo hayo yamekuwa yakisababisha harufu mzito kiasi cha kuwasabishia mradhi ya kukohoa na mafua, kutokana na kemikari nzito iliyopakwa kwenye nguzo hizo.
Na wafanya kazi wanao shusha nguzo hizo wamelalamikia uduni wa vifaa vya kazi, na kusema kunawasabishia kuchubuka mwili ikiwemo uso na mikono, huku wakilipwa
ujira mdogo.