Burudani

Nick wa Pili avipa tano vyombo vya habari, awachana wasanii kuwa ‘makunguru’

Rapper Nick wa Pili amefurahishwa na umoja uliooneshwa na vyombo vya habari katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na hali tete baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuvamia kituo hicho Usiku wa Ijumaa iliyopita kutokana na video za CCTV kamera zilivyoonyesha.

Nick ametoa pongezi hizo kupitia mtandoa wa Twitter lakini pia amewachana wasanii wenzake ambao wamekuwa hawana umoja katika kutafuta maslahi yao.

Kupitia mtandao huo, rapper huyo ameandika:

Hongera vyombo vya habari kuungana, wasanii sisi mwenzetu hata au wawe, tutatizama tu..kimtizamo finyu…

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents