Nyota wa Hip Hop Nicki Minaj alishangza wengi kwa kuudhuria tuzo za Grammys huko akisindikizana na mtu aliyevaa kama Papa, isitoshe msanii huyu aliendelea kuwakwaza watu alipotambulisha wimbo wake mpya wa Roman Holiday na kuigiza kama anatolewa mashetani.
Wadau tupeni manoni yenu, video hii hapa:
[dailymotion]http://www.dailymotion.com/embed/video/xolh0s_21221223435_lifestyle[/dailymotion]