Burudani

Nikki Mbishi anaweza kuwa wack – Godzilla

Rapper Godzilla amesema licha ya kutoa nyimbo kadhaa na Nikki Mbishi na kuwa marafiki, bado hamkubali kwa sasa kwa kuwa hana hit song.

Godzilla amesema wasanii wote wa hip hop (emcees) ambao wanataka kubishana na yeye watengeneze hit song kwanza ndio wamfuate kwa ajili ya mabishano.

“Nikki is my friend tumefanya kazi kwenye wimbo wake ‘Kila Siku’ na One the Incredible yupo, pia tumefanya Kill Yourself na yeye ndio aliproduce lakini sijui nini kilitokea but we still friend,” ameiambia E-Newz ya EATV.

Ameongeza “May be, I don’t know, can be wack too but is my friend, but not disrespect. Nikki namuelewa kama simuelewi, hasomeki. Unajua watoto wa Ukonga wengi wanakuwaga miyeyusho lakini ni ndugu zangu wakina Wakazi, Nikki tunawalea, tutafanyaje ni wanetu”.

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents