Burudani
Nimesoma Biblia na Quran nimeamua bora kuwa Muislamu niwe karibu na Mungu – Barakah The Prince (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Barakah The Prince amefunguka ishu ya kubadilisha dini kutoka kwenye ukristo na kuwa Muislamu huku akidai kuwa maamuzi hayo yamechukua muda mrefu hadi kuyatekeleza.
Barakah akiongea na Bongo5 amesema kuwa amejitahidi kusoma Biblia na Quran na akaja kubaini kuwa Uislamu ndio dini yake pekee kwa sasa ambayo itamuweka karibu na Mungu.
Ndiyo Umesha chuja hivyo
Welcome to peace bro (ISLAM)
UMEKUWA MUISLAMU Kwasababu ya naji usituchoshe akili,, cheusi mangara,,,
Maisha yamemchanganya uyo
Hahahaa ukisikia kubwa jinga ndo hili, niwe karibu na Mungu? Kumbe mkristo yuko mbali na Mungu
Uislamu si lele mama shehe wangu
Pole sanaaa unapotea
Stress huyo jamani msimtukane
Kubwa jinga
C ndo apo pimbi 2
Naji kamzidi ujanja na maarifa
Ahahahahahahaha vichaa wanazidi kuongezeka. Kwanini asiende mirembe
Kavulugwaa
Kazi kweli kweli #Judy Yohana wasanii wetu
Hahaaaaaa
Huna jipya wewe!!!
Ongea ukwelu kilichokufanya kwenda huko. kwan ukaribu naMungu ni MATENDO nasi kuwa katika Dini fulan.
Hongera sana
Ndio
Safi Japo wengi husukumwa na mtu fulan au kitu fulan
Acha kudanganya kwan wakristo wapo mbali na mungu,,,sema mwanamke,,,usjhesabie haki
Kwani umekuwaje sasaivi mbona sikusomi kimziki
Uko musazi sana
We kweli msukuma
We boya kweli eti kuwa karibu na Mungu kwani Uikristo huko mbali na Mungu? “K” imekuchanganya zoba kweli wewe. Akili yako iko sawa na weusi wa rangi yako mwili.
Kwan wakristo hamjui kama uislam ndio njia sahihi
Ivi nikuulize we waenda church kuabudu au kuomba???
mash Allah bro
Kafataa demu
Uyu bwege kabadilisha dini kisa mwanamke naj
Alafu kwann majini wengi wana majina ya kiislamu?
Siku zote mtu akifulia lazima arudi kwa mungu ndo ujue pesa zinatuweka mbali na mungu bora kuishiwa tu ili urudi kwenye mstari maaana mnajisahau hakuna namnaπππππππ
Iman yako tu hata ukienda kuabudu hvo virasta ka chenjeu je ufalme wa mungu utauona
Mashaaallaah krb sn
Sema umeolewa sio umechaguaπππ
Kuwa muisilamu wala sio kuwa karibu na Mungu, nakua mkristo pia sio kuwa karibu na Mungu. Pitia kwenye hiy hiy biblia yakobo 1:27 utajua ukitaka kuwa karibu na Mungu ufanyeje
Ndugu zangu wakristo tunao elewa NENO LA MUNGU tusimjibu.
Guys!! Achen kumtusi baraka,kwanza haja taja mtu 2.hajasema kuwa yye n mkristo,Ivi niwaulize…Tofauti ya mwislamu na mkristo ni nini? Si ni msikiti na kanisa…Je huyu asiyeenda msikitini au church Tumwiiteje….????kuweni na akili
Huyu kichaa kweli katekwa namke mpaka anatusi dini zawatu wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto na huna elem yadini yoyote
Kwaiyo tunaosema biblia tuko mbal na mung shemon u mxiuuu sema umemfata danga lako ambalo liko huko mfyuuuuu
C stress kka bali mungu kamwelekeza njia njia ya haki
bro kubadili dini kisa mwanamke sio usahihi alianza nuhu mziwanda akamzalisha dada wa watu then akarudi kwenye dini yake afu hakuna dini sahihi
Acha watu waseme usiku watalala karibu sana katika dini ya ukweli
Jinga sn ww
Na bado anaimba mziki au ajui dini inakataa mziki wake huo wa kidunia.
Usimuache yesu sababu ya uchi nakupa andiko ilo muulize mwenzako nuh mziwanda alikuwa na mwembwembwe kama hizo yako wapi karudi mikono nyuma
We sema tu kwa7bu ya demu fala ww
Naj anakutia Wazimu,mapenz sio mchezo babako
Hongera kaka.
Mstari mzuri sana huo
Kwa hyo ulikuwa karbu na shetan
Allah akufanyie wepec inshaallah
mpk utangaze kiki/hiyo
Tunajua kilicho mpeleka asizuge
Hakika yupo sahihi mungu ni mmoja na dini ni moja uislam ndo dini ya kweli hongera kwako baraka
Wap ww sema umeingi chakikee, jielew blazaaa…
Nani kakuuliza?fuata ulichoamua kwa moyo thabiti
Mashaallah
Ww una hakika gani hyo dini ya kwel na umeikuta kama watu wengne hzi dini tumeletewa ndgu sawa…..so zisingekuepo ata tusngejua dini ni nin….so kubadili ama kubaki ktk dini yako na ni #imani yako itakuokoa mbelen sio dini
Unapoteza mwelekeo
Dini tumeletewa nashangaa kusoma comments za watu wachache wenye upeo mdgo eti uislamu ndio dini ya kweli….wapi hii prove imetoka. Ama hakika naamn bado kuna ubaguz wa kidini….kubadli dini kwa baraka ni yy binafsi si kama kuna madhaifu dini aliyotoka na Dini tumeletewa zisingekuwepo hz kuna vngne tukiabudu tu…..so IMANI yako itakuokoa katk dhamb na sio kukumbatia mm ni din gan na vp…amin ukristo ulikuja kipnd cha WAMISSIONARY na uislamu kipindi cha WAARABU kuingia pwani ya africa mashariki…tulikua tukiabudu miti n.k sasa kwann hawa wengne waislamu wanasema dini ya kwel islamic?? Nyie hachen zenu dini tumeletewa hizi na tunakufa tutaziacha ila IMANI yako itakuokoa milele
Kwani mwanzo alikuwa nani?
umemufuata shemala nn maana uzaifu huo kwenye mapnz upo sana
Sio umeamua kuwa muisilamu uwe karibu na mungu#najma ndo kakubadilisha mbwa ww akikuacha usirudi tena kuwa mkristu #ww ni yuda unawasaliti wazazi wako kwa hio walifanya makosa kukuzaa au unahangaika tu na dunia
Huyu nae anaanza kua kichaa
Mungu hachezewi so chunga sana ulimi kwani ulipokuwa mkristo ulikuwa karibu na shetani?
HONGERA SANA
Mashaa allah
Hongera sana Baraka.
Yeye aseme tu kafata mwanamke tutamuelewa na si kudharau alipotoka… Alikua nuhu mziwanda mwisho wa siku akarud kuomba msamah sembuse wew..
Umeolewa
Ongera baraka uislam ni dini ya kweli ata mimi ni mkristo na nataka kumfuata Allah kwani ndio njia ilio sahihi
Ni taru kweli kisa dem ndio ahame dini
Mi namini uwepo wa mungu upo ila so dini kila MTU amuabdu awezavyo matusi yanini!!!!!
MASHAALLAH
Haswaa msukuma kwa cheupe dawa hachomoki. Afu anajifanya karibu na mungu… mungu au mzungu koko najma?
Pw
Upi sawa kabisa
Ww ni choko
Zipo dalili nyingi tu za kuonesha Muslim ni dini sahihi tafuta elimu kwanza ndio uwongee utajuaaje wakati hujakaa na kusoma maadiko ya dini
Bosheni mungu yupo mahari popote pale
Dini hazijaletwa na watu jitahid usome
Fara we umebadilishwa dini na mwamke
Angalia dogo mwisho wa ck ucje kujuta maamuzi hayo kwan wengi wakiachwa km ww ulieolewa utaanza kutaman kurud kwnye dini yako ya awali
Majani ya Arusha hayajawahi muacha MTU salama aiseeee
Kubadilisha badilisha magari hakukufanyi ufike salama sana sana utachelewa tu kufika
Kubadili dini ni kama kuhama chadema kwenda CCM vyote ni vyama vya siasa hakuna jipya ajipange kuja na kazi nzuri ili tumsikie baraka da Prince wa zamani kiki za dini mwisho sasa.
Sawa
Ahmadi Hassan Hussein dini umeletewa ww hacha kujifanya unaelewa kwnza umeikuta. Babu zako wangekua wanaabudu punda ad leo na ww ungeabudu punda hacha kelele
Mnapenda vya bule
Deogratius E Kikwasi Jr. Rafik yangu soma kwanza
Ahmadi Hassan Hussein nmesoma ndio mana nmejibu
Huyu atakua kafosiwa na kile kidem chake abadili dini kama hataki asepe kua chini ya mwanamke shida sana hata akikwambia leo utalala sebuleni unakubali bila kuuliza kwanini jamani vidume tupambane bana videmu visitutawale
Deogratius E Kikwasi Jr. Unaamin utakufa?
Cha kujiuliza hapa ni Dini ni nini.?Dini ni mpango wa mwanadamu kuwa karibu na mungu.
Unajua lengo la ww kuletwa duniani?
Nani Kakwambia hayo au ndo wale wale kasoro tarehe
Hana lolote huyo kakosa cha kusema
Hahahahaaaaa ya dunia mengi kweli lakn ovyo
Hongera sana
safi sana ila pia unatakiwa utubu kweli na kuacha mziki
Kabebwa na Demu huyo mweusi
Soma vitabu utajua mitume na manabii walikuja nyakati tofauti tofauti na wote lengo lao lilikua ni kuwapa habari za mungu
Ipo wazi Uislam ndo dini ya kweli
Aceni matusi kaiona khaki
Mungu ni mmoja tu kwa hiyo imani ni bora kuliko dini ambazo misingi yake kila siku inabomolewa na waliotuletea hizi dini
Kaa ukijua masikin na watu wa chini ndio tunamjua sana Mungu
Mpuuzi kabisa wewe sema Malaya wako ndo kakubadilisha dini na siku ukiachana nae utaanza kutwambia umeamua kurudi kwenye dini yako ndo maana hata kwenye mziki wako ubarikiwi unaishia kuimba kwenye bethidei tuuu
Majibu unayo braza isitoshe, kuabudu then kuomba #Nassr
MaashaAllah
Mkwepu Mkali Wao unauhakika??? Ninavyojua safari ni moja njia ndo ziko tofauti ila zote ni sahihi
Unamaanisha Ukristo ukomabali Mungu nyooooo subir uingie jehanamu siku Allah atakapotia mguu wake huko muungue wote motoni. Mcha Mungu manyere kaa chizi nafasheni za kuzimu hizo kama hujui.
Karibu sn ndugu
Karibu kwny uislamu, ila ukitaka ukaribu na Mungu fanya Ibada na uache Muziki lengo lako litatimia…!
Din ya mungu mmoja baraka inshaalla hata kama umemfuata naji ni kwa uwezo wa allah πππππ
Allah akbar
Mashaallah
Una pepo wewe siyo bure!!!
Jaman kwan shida iko wapi yeye c ameamua mwenyew mwacheni mung akuzidishie iman baraka
Kwhy yy hapo yupo karibu na mkewe na mungu?
Huna lolote ndo nyie nyie unabadili kwa ajipi ya jike
Unaongea ujinga tuu
Perfect
Baraka
Genius
Frank Peter Kimaro Kipara ndio mana nakuambia tumeletewa dini zote hzi
Ahmadi Hassan Hussein kufa nitakufa mm nibaki kama nani walkuwpo mitume na manabii wamekufa na ktk dini walizokuwepo mm ni nan nisfe….hakuna atakae dunian tunapta…naamn imani niliyonayo na din nliyoikuta toka nazaliwa na nlpokatwa kitovu. Ni bora ukaamini kama mm Mungu yupo ata nikienda nimkute kulko kutokuamn na kwenda ukamkuta yupo….hapo ndipo utaamn upya lkn utakua ushachlewa
Mapenzi buana ππππ
Dini azimuweki mtu karib na Mungu ila matendo yako wala Mungu aangalii Dini ukitaka kujua kufa alafu ukaone kama ataangalia din yako
Mh hakika umefulia ndugu yangu SSA umeamua kumuusisha mungu na kiki acha ushetani ludi mwanza ukawe mvuvi na uyo dem waachie kina mond na mmakonde
Huu nao ni mtihani kama mitihani mengine
tofauti kati ya muislam na mktisto ni swala
Hhh
Acha zako Mdogo Wangu bora ukae kimya
Msenge wew !! Utahangaika Sanah… Aliekudangany ukabdil dini kashakukimbia.πππππ
Najma
Deogratius E Kikwasi Jr. Sasa lengo la kuumbwa mm na ww ni kumuabudu mungu ndio lengo ila sasa tunatofautia kwenye kumuabudu mungu hapo ndipo kwenye tofauti
Kaa kimya wewe
Vizuri
Kuwa karibu na MUNGU ni kufanya ibada kutenda mambo yanayompendeza MUNGU wala si hoja ya kuwa mkristo au mwislam
Wasukuma kwa wanawake weupe nawajua saana yuko tayari hata kubadilii kabilaa huyuu
M/mungu akuongoze
Makanisa ya Leo yanahubiri pesa na waumin kufuata uponyaji na sio wote wanaoponya wanaponya kwa nguvu za mungu wengine nikutumia uchawi kwa mfano wanaotumia kama Pete sijui mafuta ya upako sijui maji yabaraka sijui kitambaa mmh hawa watu nawasiwasi nao we simama na imani yako basi
Mungu unajua aliko wew msukuma umependa vyeupe ndomana mungu wako NAJI may be ndo uwekaribu nae
Gether Gether Rapper kweli kabsa kihistoria dhehebu kubwa kikristo ni ROMAN CATHOLIC mengne yakafata baada ya kujihengua toka catholic
Ahmadi Hassan Hussein sawa umenielewa kaka point yang ni hv mm nakataa mtu muislamu anaposema upande wake et dini yake ndio dini inayotambulika na Mungu kwa prove ipi apo ndio sitak kukubali hilo. Hz dini tumezkita tu kaka mm na ww na tukakulia nazo toka kwa wazaz wetu ila.waliokufa uko ndio wanajua kitovu cha hzi dini…ila.kihistoria hz zmekuja.na meli kipnd cha watumwa na kutawalia na kuenezewa dini zao….we jiulize wangekuja #wachina leo situngekua mabudha sisi
Kbs ukweli unauma jisemeye J Max Semedo
Izo dini zote tume letewa bora ungelitafuta Mungu wa Africa kwasababu walieye tu leteya izo dini wame kuta mababu zetu wanamjua Mungu.
Je wao ni wanani kwakutuleteya dini.
Je wao ni watu special kuliko sisi.
Africa lamuka nau one mbali.
Deogratius E Kikwasi Jr. J ww unaiamin biblia
AMIIn
mh…mtoto naji kakupeleja upande wa pili…kwel mapenz co mchezoπ
We choko tu unafata machoko wenzio
Matendo yako Ndio yatakufanya uwe karibu na Mungu na wala sio dini