Burudani
Nina miaka 32 najiona nimekua, najutia sana kuchora tattoo na kutoboa masikio-Mr. Blue (+video)
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue amesema kuwa anajutia sana baadhi ya vitu ambavyo alishawahi kuvifanya kipindi cha nyuma akiwa mdogo ambavyo hadi sasa vinamuumiza kichwa.
Akitaja baadhi ya vitu hivyo kwenye mahojiano yake na Bongo5, Mr. Blue amesema kuwa ni kitendo cha kutoboa sikio akiwa darasa la 7 na kuchora tattoo.
Kwa upande mwingine amewaasa wasanii wengine hususani wachanga kutokufanya vitu ambavyo baadae vitawaletea majuto kwani kila fasheni inabadilika kuendana na muda.
Usijali u can change
Mr kabaisa
WEW NI MSANII BANA ISHI KISANII
Wewe vaa mpaka cheni nguhuni
Angejutia asinge endelea kutumia hizo tundu za masikio
Wenzako wanavaa vikuku saivi bado kutoboa vitovu tu
me namuangalia tu #official_brawn…..anavyo uchafua mwil na matattoo
hongera miaka 32 ni mingi Sana kwa maisha ya Sasa tumshukuru Mungu kwa Upendo wake.
ucjali toboa chora ishi kistaa sis yetu macho wengine wanavaa vikuk bado shanga tu
Kafuteee
Ya dunia ni mengi sana na ujana unachangia ila kikubwa uhai nakumrudia mungu utaacha yote ya Dunia.
Blue biz baisa babilon usijali ulikuwa utoto umekuwa umeacha
Hahahahaaaa Aisha wee staki miee!
Kumbe alikiba mdogo kwako
Nenda kazifute zinatibabika hizo
Ndo ukome
Akili ndio inaamka
Uwiiiiiiiiii
Tatizo watu hawaelewi ,,ukiwa msanii kuna vile inatakiwa uishi ili kuonekana tofauti na wengine ,,na vile inatakiwa uishi ndo kama hivi kutoboa pua na kuvaa hereni kutoboa masikio na kuvaa heren kuvaa vikuku kuvaa nguo aina zote za kike za kiume kuchora tatoo,,,kupaka lipstic shedo ,,,kupaka wanja ya make up kiujulma ,,,hivyo ndivyo msanii apaswa aishi kwa life style yake yote
Kama umejuwa kosalako hainabudi omba mungu naimani atakusamheee.
Mboga saba
Jutia na kunyoa kipara!!!
Ujana maji ya moto.
Binadam nzur ni yule anae jutia makosa alo yafanya na akaomb toba kwa mola wake
Pole
aisha wakivaa shanga si itkuwa taabu?
Umekumbuka tauro uko bafuni!!!!!
Na kwa hayo yote si bado tu kufanywa mke?
Fataki Rhymer hiyo haihusiani kabisa
Tatizo huwa hawaangalii mbele we ukifa nimotoni tu hakuna mjadala unatoboa masikio ya nn ss
Usijal #kabaiser najua yote ulifnya kipnd upo ujanan haina budi kujutia sna, sasa umekua ama hakika umetambua kua ni makosa uliyofanya. Mungu anasamehe, muombe anasikia pia
Alikiba ni msanii mkubwa lakini katika hayo yote sioni hata moja ambalo analifanya. Ina maana hana sifa ya usanii?
Ndiyo Nassour Barrack Kheir na ndiyo maana wasanii wengi Africa hawaonekan kufanya mambo makubwa au kupata dili kubwa kama wale wa america kwa sababu wasanii wetu Africa hawajui ku ji brand yani unakuwa auwezi kutofautisha msanii na muuza nyanya barabarani
Neah Pike duh hahahaha umeua mzee
Neah Pike acha uwongo. Jay Z hana tattoo hata moja, hajatoboa sikio hata moja, miongoni mwa wasanii matajiri duniani nae yumo. Unataka kuniambia pesa ameziokota hajazipata kupitia usanii? Acha kukariri ndugu, ubaweza kuwa msanii bila kuchora tattoo, kutoboa sikio ama pua na pia ukawa na mafanikio maana mafanikio ya usanii hayaangalii tattoo zako wala hereni zako wala vikuku
Nassour Barrack Kheir yani wale jamaa ujui wanavyo ji brand kuna mambo mengi wanafanya ata kama hawajitengezi miili baadhi yao ila kuna jinsi wanajitengeneza wewe huwezi jua ,, ila sina maana kwamba asilimia mia kuji brand nilikoongelea Mimi ndo kunawafanya wale wa America kuwa na mafanikio makubwa noo wale kuna mengi mfano wana uhuru wa kuimba wanachoona wanachojisikia pia lugha yao ni kimataifa pia taifa lao kubwa lina maendeleo
Neah Pike point ni kwamba unaweza kuwa msanii usiwe na tattoo na hata usiwe umetoboa maskio na pia ukawa na mafanikio no matter unapitia njia gani. End of story
Pole sana
Mimi Nina point yangu usiseme end ,,,maana Mimi ndo nimeleta hii mada Nassour Barrack Kheir so usikatishe juu juu
Tubu kbla hjafa
Aisee wasanii wa bongo waongo Sana mwaka 2001 kipindi unatoka na wimbo wako wa Mr blue ulikuwa una miaka 13 Leo hii una miaka 32 daah
Ilo picha la Kitambo
Sasa kama hutaki tena kutoga. Toa hereni. Tundu litaziba.
Kwa iyo amezidisha au amepunguza?
Vizuri kwa kiulijua hilo