Burudani

Ninafanya mapenzi mara 500 kwa siku – Kim Kardashian

Kupitia promo ya msimu wa 10 wa kipindi cha TV cha ‘Keeping Up With the Kardashians’, Kim Kardashian ameshare habari nyeti kuhusiana na maisha ya mapenzi na mume wake Kanye West.

11032891_622835094518097_1540309096_n

Video hiyo inayorushwa kwenye kituo cha TV cha E!, Kardashian anasema: I’ve been having sex 500 times a day.”

10955227_1640152052870752_1903037133_n

Kauli hiyo ilionesha kumshtua mdogo wake Khloe. Msimu huo utaanza kuoneshwa Jumapili, March 15.

Kim na Kanye wamekiri kuwa katika jitihada za kutafuta mtoto wa pili.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents