Michezo

”Nishatukanwa sana Kuifunga Simba, nilikuwa namlilia Mungu niifunge Yanga” Kocha Kagera Sugar (+Video)

Kocha wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa ameshatukanwa sana kwa sababu ya kuwafunga Simba SC lakini Yanga SC hwafungi hivyo ushindi wake wajana wa mabao 3 – 0 dhidi ya vijana hao wa Jangwani alikuwa akimlilia Mungu akiwa peke yake ili kuhakikisha na vijana hao nao anawaadabisha ili kuonyesha kuwa yeye hana utimu.

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents