Habari
NMB waadhimisha siku ya watoto duniani kwa ‘style’ ya kipekee
Jumatano hii dunia nzima inaadhimisha siku ya watoto duniani ambapo nchini Tanzania siku hiyo imeadhimishwa kwa wadau mbalimbali kupaza sauti zao kwa serikali juu ya haki za watoto.
Kwa upande wa taasisi za kifenda, Benki ya NMB imeadhimisha siku hiyo kwa style ya kipee.
Heri ya #SikuYaMtotoDuniani
Katika kuadhimisha #SikuYaMtotoDuniani,Benki ya NMB Makao Makuu liliwasha taa za bluu kuunga mkono Shirika la uniceftanzania katika maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 30 ya Mkataba juu ya Haki za Mtoto
Ni wakati wa kuwaunga mkono na kuwawezesha watoto na vijana ambao wanasimamia na kudai haki zao kote Ulimwenguni ni sasa.
#KwaKilaMtoto, Kil haki inatimizwa!