NMB yafungua tawi Buzuruga, Mwanza

NMB inaendelea kupanua mtandao wake wa matawi na kusogeza huduma za kibenki karibu na wateja wake.Sasa NMB imekuwa karibu na wateja wa eneo la Buzuruga kwa kufungua tawi eneo la Buzuruga Mwanza katika jengo la Buzuruga Plaza lililopo karibu na kituo cha mabasi cha Buzuruga.

IMG-20130410-00783

Ndani

NMB inaendelea kuwa kinara katika ubunifu Tanzania kwa kuanzisha huduma nyingi za kibenki. Hivi karibuni imeungana na Vodacom ili kuwarahisishia wateja kupata huduma za kibenki kwa urahisi.

Sasa wateja wanaweza kuweka na kutoa fedha kwenye akaunti ya NMB kutokea M-Pesa. Huduma hii ni ya haraka, salama, unaitumai popote ulipo na wakati wowote.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents