Burudani
Ommy Dimpoz kutumbuiza nchini Burundi kwenye sikukuu ya Eid
Wananchi wa Burundi huenda wakawa wa kwanza kuisikia Tupogo ya Ommy Dimpoz live. Hitmaker huyo kutoka Tanzania anatarajiwa kutumbuiza nchini humo kwenye sikukuu ya Eid mwanzoni mwa mwezi ujao. Tazama poster hiyo kufahamu zaidi.
Mtazame Ommy Dimpoz hapa alipokuwa akiuelezea wimbo wake mpya, Tupogo atakaouachia hivi karibuni.