Orodha kamili ya washindi wa tuzo za Bingwa za Kenya, Diamond shinda Msanii wa Mwaka
Tuzo za za Bingwa (2015) za nchini Kenya zimetolewa Ijumaa hii (Jan 29) jijini Nairobi, Kenya ikiwa ni mara yake ya pili kufanyika.
Miongoni mwa wasanii wa Tanzania waliokuwa wakichuana kwenye kipengele cha ‘Msanii wa Mwaka Tanzania’ kwenye tuzo hizo ni pamoja na Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Joh Makini, Ommy Dimpoz na Lady Jaydee. Diamond ndiye ameibuka mshindi wa kipengele hicho.
Hii ni orodha kamili ya washindi:
East Africa Artist of The Year – Sauti Sol
Artist of The Year Kenya – The Kansoul
Artist of The Year – Bahati
New Artist of The Year – Dufla Diligon
Songwriter of The Year – Visita
Artist of The Year Tanzania – Diamond Platnumz
Artist of The Year Uganda – Cindy Sanyu
Artist of The Year South Sudan – Mary Boyoi
Artist of The Year Rwanda – Knowless
Dialect Artist of The Year – Ken wa Maria
Performer of the Year – H Art The Band
Ever Relevant Artist of The Year – Wyre
Showbiz writer of The Year – Manuel Ntoyai ; The People Daily.
Showbiz Personality of The Year – Willis Raburu
Showbiz Magazine of The Year – Pulse Magazine
East Africa DJ of The Year– Dj Joe Mfalme
Deejay of The Year – Deejay Crossfade
Video of The Year – Papa Dennis
Video Director of The Year – Enos Olik
Entertainment Site of The Year – Mpasho
Come Back of The Year – Octopizzo
Album of The Year – Legends of Kaka -King Kaka
Song of The Year – Fimbo ya Tatu-Grandpa
Verse of The Year – Gabu -P-Unit
Radio Station Of the Year– Radio Maisha
Radio Presenter Of The Year– Rashid Abdalla – Qfm
East African Comedian Of The Year -Jalango’o
Legendary Award Of The Year– Fred Obachi Machoka; Radio Citizen
EAST AFRICAN Record label of the year– Grandpa Records