Orodha ya vijana 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika yatajwa, Tanzania yatoa vijana 8 ‘Diamond na Jokate watoswa’
Taasisi inayojishughulisha na tafiti mbalimbali zinazohusu vijana wenye ushawishi zaidi walio chini ya miaka 40Β baraniΒ Afrika ya The Africa Youth Awards, imetangaza orodha ya majina ya vijana 100 ya vijana wenye ushawishi kutoka kwenye mataifa 26 barani Afrika kwa mwaka 2018, na Tanzania ikiwemo.
Kutoka Tanzania, vijana waliofanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo ni vijana 8 ambapo majina hayo ni Alikiba, Faraja Nyalandu, Herieth Paul, Jennifer Bash, Jumanne Mtambalike, Mbwana Samatta, Millard Ayo na Yusuf Bakhresa.
Kwa upande majina makubwa ambayo mwaka jana 2017 yalitangazwa kwenye orodha hiyo kama, Diamond Platnumz, Idris Sultan na Flaviana Matata mwaka huu yamepigwa chini.
Tazama orodha kamili hapa chini na kusoma zaidi kwenye website yaΒ The Africa Youth Awards.
Tatzo haeleweki
Atushawishi na misuko yake!!!anazingua atoswe 2 πππ
sasa daimond na vikuku vyake na misuko yake nan atamshawishi
big up my favorite artist king kiba
Uti unatumaliza kilichoongelewa ni ushawishi na mnatakiwa kujua ni ushawishi wa aina gan mm sina tim ila tukiacha upendeleo kwa mfano sisi ni watanzania tuna tamaduni zeti je kwa hao wanaosema mbona diamond hayupo kwa nn hiv mnadhan anayoyafanya yanaleta maadili gan kwa wanaomwangalia leo ameanza kuvaa vikuu mara kusuka nk hiv hapo anatushawishi nn kuiga mambo ambayo sio tamadun zetu au msinielewe vibaya ila washauri wa diamond wanampoteza na sisi mashabiki tutazidi kumpoteza kwa kumsifia japo ameharib
Nabii tito wapi
Sodoma na Gomora inakaribia ukiona hivyo,Mi nampenda Alikiba anajielewa hana mambo mengi,wala show off .
Huo utafit wakiboya na hauwez kuwa wa kwel
Diamond kawaburuza sana muda huu hana mpango tena na mambo hayo, kawaachia wengine
Kama hujarizika kachukue barua kwa mwenyekit uandamane
Tumia akili ww hapo hawajaongelea maadili ni ushawishi,na kwa hilo diamond afrika mashariki ana ushawishi mkubwa kwa vijana kuliko yeyote yulee
Mzee James Mpashe huo utafiti wa mtu tu kafanya hata wewe unaweza kufanya ukatoa,imagine mtu Kama diamond hayupo hakat akifanya kitu kwa mda mfupi tuu vijana wa afrika mashariki wanajua na ni dhahiri kabisa ndie mwenye ushawishi mkubwa Afrika mashariki,kwaiyo izoo tafiti ni za kisenge mamaee
Tunajua kwamba yuko busy na mipango ya kushawishi mashoga
Bryceson Benson ha ha ha ha ha profile yako inajieleza ni mtu wa aina gan..so huwezi elewa wanachosema wanaume
Tanzania nzima vijana wengi wananyoa kama Diamond, wanavaa kama Diamond ,
Sijawahi mtu anaye vaa kama Milad Ayo sijawahi kuona mtu kanyoa kama king Kiba ,so vitu vingine πππππ
katoswa Ronaldo atabaki diamond na chuki zawo
Sio vigezo vyao kunyoa na kuvaa peke ake. Wanaangalia mambo ya msingi na kimaendeleo. Unataka kuniambia hakuna wanawake wanaovaa kama faraja kota au kusuka kama faraja kota!? Fuatilia faraja kota anafanya mishe gani utajua kwanini yupo kwenye list. Millard anafanya kazi nzuri kila mtu anajua. Herieth paul ni msichana mdogo kafanya umodo kwenye majukwaa makubwa ya kimataifa kuliko mamodo wenye miaka 20 na zaidi. Anyway pengine tunatofautiana uelewa sikulaumu
Sio vigezo vyao kunyoa na kuvaa peke ake. Wanaangalia mambo ya msingi na kimaendeleo. Unataka kuniambia hakuna wanawake wanaovaa kama faraja kota au kusuka kama faraja kota!? Fuatilia faraja kota anafanya mishe gani utajua kwanini yupo kwenye list. Millard anafanya kazi nzuri kila mtu anajua. Herieth paul ni msichana mdogo kafanya umodo kwenye majukwaa makubwa ya kimataifa kuliko mamodo wenye miaka 20 na zaidi. Wanaangalia mambo ya kuwasaidia vijana na jamii kwa ujumla sio mambo ya kusutana au kuvaa vimodo
Diamond ameshawishi wangapi kuingia kwenye game ? acheni mambo yenu
kweli uelewa tunatofautiana kabisa .
Eg:King Kiba ameshawishi nn ? sawa Faraja Kota kashawishi ndio najua …..
Hem turudi nyuma walikuwa wanatafuta vigezo gani kwenye hivi vimatangazo vyao?
Bryceson umeongea kwel itakuwa kuna watu wametengeneza kakundi kao ili kutaka mshusha mond na hawataweza
Na kusuka pia kama mond cyo
π·π·π·
Nzi akiacha ujinga atatengeneza asili nyingi sana … Dimond kaanza tabia ya Dada zake kusuka Na lip stick
Hauna maana yoyote
Ni upuuzi wa hali ya juu