Burudani

Ostaz Juma na Musoma amkataa Babu Tale sio meneja “Ile tuzo alifanya mchongo tu, hana hata msanii aliyemtoa” (Video)

Meneja aliyewahi kufanya kazi na Dogo Janja, Suma Mnazareti, Sharomilionea, Kitale, PNC pamoja na wasanii wengine amefunguka kuzungumzia hela ambayo aliwekeza kwenye muziki pamoja na fitina ambazo amewahi kufanyiwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents