Pacquiao aomba radhi baada ya kuwafananisha wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na wanyama
Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquaio, ameomba radhi baada ya kuwafananisha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja na wanyama.
Kauli hiyo iliwafanya Nike wasitishe mkataba wake.
BREAKING: Nike has terminated its contract with Manny Pacquiao due to recent comments. Nike statement: pic.twitter.com/3xZ7e08EtU
— Darren Rovell (@darrenrovell) February 17, 2016
Hata hivyo amedai hilo halimsumbui kwa lolote.
“I’m sorry for hurting people by comparing homosexuals to animals. Please forgive me for those I’ve hurt. I still stand on my belief that I’m against same sex marriage because of what the Bible says, but I’m not condemning LGBT. I love you all with the love of the Lord. God Bless you all and I’m praying for you,” ameandika kwenye Instagram.
Bondia huyo yupo kambini kujiandaa na pambano lake la April 9 na Timothy Bradley jijini Las Vegas.